YOUNGMUSHI Member Joined Aug 12, 2013 Posts 17 Reaction score 3 Aug 13, 2013 #1 Habari zenu Ninauza gari aina ya JEEP GRAND CHEROKEE 6 cylinder Full leather seat 3900cc automatic diesel engine good fuel consumption BEI NI TSH 20,000,000 Attachments jeep1.JPG 69.6 KB · Views: 222 jeep2.JPG 68.3 KB · Views: 196 jeep3.JPG 69.1 KB · Views: 183 jeep4.JPG 49.4 KB · Views: 175 jeep5.JPG 24.8 KB · Views: 173
Habari zenu Ninauza gari aina ya JEEP GRAND CHEROKEE 6 cylinder Full leather seat 3900cc automatic diesel engine good fuel consumption BEI NI TSH 20,000,000
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Aug 13, 2013 #2 Mheshimiwa kitu kimetulia lakini umesahau bei yake, vile vile hujatuhabarisha usajili huo ni wa nchi gani? Ni gari ya mwaka gani?
Mheshimiwa kitu kimetulia lakini umesahau bei yake, vile vile hujatuhabarisha usajili huo ni wa nchi gani? Ni gari ya mwaka gani?
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,134 Aug 13, 2013 #3 grafani11 said: Mheshimiwa kitu kimetulia lakini umesahau bei yake, vile vile hujatuhabarisha usajili huo ni wa nchi gani? Ni gari ya mwaka gani? Click to expand... Singapore hiyo!
grafani11 said: Mheshimiwa kitu kimetulia lakini umesahau bei yake, vile vile hujatuhabarisha usajili huo ni wa nchi gani? Ni gari ya mwaka gani? Click to expand... Singapore hiyo!
YOUNGMUSHI Member Joined Aug 12, 2013 Posts 17 Reaction score 3 Aug 13, 2013 Thread starter #4 Now ina usajili wa tanzania bei yake ni 20million ni ya mwaka 1998
Msamiati R I P Joined Mar 6, 2011 Posts 1,063 Reaction score 700 Aug 13, 2013 #5 YOUNGMUSHI said: Habari zenu Ninauza gari aina ya JEEP GRAND CHEROKEE 6 cylinder Full leather seat 3900cc automatic diesel engine good fuel consumption BEI NI TSH 20,000,000 Click to expand... nipm contact bosss plz nimechoka kutembelea milundi
YOUNGMUSHI said: Habari zenu Ninauza gari aina ya JEEP GRAND CHEROKEE 6 cylinder Full leather seat 3900cc automatic diesel engine good fuel consumption BEI NI TSH 20,000,000 Click to expand... nipm contact bosss plz nimechoka kutembelea milundi
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Aug 13, 2013 #6 Safari_ni_Safari said: Singapore hiyo! Click to expand... YOUNGMUSHI said: Now ina usajili wa tanzania bei yake ni 20million ni ya mwaka 1998 Click to expand... Wakuu nashukuru kwa taarifa. Kuna jamaa yangu alikuwa anatafuta Nissan Patrol ngoja nimuone kama atalipenda nitamleta jukwaani aku-pm muonane. Kwa hadhi na uwezo wa hilo gari hiyo bei ni ya kitanzania kabisa.
Safari_ni_Safari said: Singapore hiyo! Click to expand... YOUNGMUSHI said: Now ina usajili wa tanzania bei yake ni 20million ni ya mwaka 1998 Click to expand... Wakuu nashukuru kwa taarifa. Kuna jamaa yangu alikuwa anatafuta Nissan Patrol ngoja nimuone kama atalipenda nitamleta jukwaani aku-pm muonane. Kwa hadhi na uwezo wa hilo gari hiyo bei ni ya kitanzania kabisa.
YOUNGMUSHI Member Joined Aug 12, 2013 Posts 17 Reaction score 3 Aug 13, 2013 Thread starter #7 Phone : +255 716 488 632 Email : husseinmushi8@gmail.com
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Aug 15, 2013 #8 makini. kwa watu makini