Gari inauzwa

Iruru

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
1,469
Reaction score
2,902
Wadau hiyo gari ipo sokoni, ipo kwenye condition nzuri, inatembea. Ina radio FM, air condition safi, ABC safi na kwa hakika hutojuta kuinunua. Bei inanzia 4.5, maelewano yapo. Kwa serious buyer aje inbox
 
Gari gani mkuu na unapatikana wapi mi naitaji ipo mbili na nusu nicheki hapa 0713880711
 
Toa maelezo mazuri, gari gani, ya mwaka gani, uwezo wake cc ngapi, fuel usage, transmition etc. hapo umeweka wateja njia panda.
 
Nadhani hyo ndio gari yenye shape mbaya kwa upande wangu mm kuwahi kuiona. Nissan cube dah kama kibox cha kuekea vifaranga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…