Gari inahitajika fasta

mwanairinga

Senior Member
Joined
Dec 21, 2015
Posts
179
Reaction score
12
Habari wana jf,
Nahitaji gari haraka kabla ya mwaka moya Toyota Carina Ti Kati ya namba C na D. Mwenye Nayo tuwasiliane Mimi nipo Dar.
 
Habari wana jf,
Nahitaji gari haraka kabla ya mwaka moya Toyota Carina Ti Kati ya namba C na D. Mwenye Nayo tuwasiliane Mimi nipo Dar.

Wewe mkongomani nini mwaka moya poa lete contact zako
 
Una kiasi gani?? Ikiwa una 10.5m Ni pm nikupatie....
 
Habari wana jf,
Nahitaji gari haraka kabla ya mwaka moya Toyota Carina Ti Kati ya namba C na D. Mwenye Nayo tuwasiliane Mimi nipo Dar.

Una undugu na hemed kivuyo wa michezo ITV nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…