ukiona hivyo na kwa hizi sarakasi zao zote hapo ccm imeshawahaidi kitu ndio maana wanajiamini hivyo.. hawajali inaweza kuwa wamepewa ahadi hewa na ccm na hawa ndio vidampa wasiojali lolote litakalowakuta wengine hata kama wengine kufa na wafe tu au kuumia si kitu kwao ila wao ni lazima wapate ulaji,cheo na madaraka kwa gharama yoyote hata kwa damu za wengine zitamwagika na kamwe watu dizaini hii hawapo kwa ustawi wa nchi na taifa isipokuwa matumbo yao tu.!