Furahi day - Be Happy

kweli Mapi
ukiwa na furaha hata wanaokuzunguka watakua ivo ivo
happiness start from within
and in that way siku yako itang'aa tofauti na ukinuna
 
Last edited by a moderator:
hapo sawa..nimekubali
paroko Eiyer,je bazazi Excel akitubu na kuziacha njia zake mbaya itafungwa?
Mi Msukuma Kweli dada yng! Yani sio Wa kuchovya km dhahabu fake!
 
Last edited by a moderator:
ningekijua ningalishakupatia baba paroko
acha kumung'unya maneno kama ni bulungutu ulitaje nikuhesabie ziro ziro nyingi

Shauri yako.....
Endelea kujidai hamnazo tu!
 
Mim leo sija furahi maana hapa Dodoma kunakuwepo na foleni baadhi ya maeneo kwa ajili ya kuwapisha waheshimiwa wanaogimania posho. inakera sana ni bora wange fanya vile na kazi(umuhimu) ya(wa) vionekane lakina sasa kilasiku majanga mara posho majina mawili wizi mtupu.
 

bora we foleni ya msimu
wenzio tunaokaa Kimara foleni ni yetu daily kwenda na kurudi
so raha jipe mwenywe usisubiri kupewa
 
baba paroko Eiyer kwani ni nini unakitaka kwa huyu binti..................

ya nini kuuzunguka mbuyu namna hii

umeona eeeeeh hebu nisaidie maana ananifumba fumbo gumu la akili na akili yangu nyembamba haijajua methali
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…