Wakati wa Nyerere, kwenye shule zetu za UPE tuliimba shairi lifuatalo lihusulo elimu ya kujitegemea
Tumeizika elimu, elimu ya kizamani
Elimu ile haramu, elimu ya kikoloni
Imetuishia hamu, kuiga ya ugenini
Elimu yetu ta sasa, yawafaa wananchi
Kulikuwa na consistency katika kufundisha
sasa hivi kila waziri wa elimu anakuja na mitaala yake.
Yaani mambo ni hovyo hovyo tu!!