Fundi Pavement anahitajika

Huwa nawaonea sana huruma hawa wafyatua pavement ya mitaani. Anavtatua kimoja kimoja kwa vibao vya chuma sasa hawa wataalamu wa veta wameshindwa kutengeneza vibao vyenye uwezo wa kufyatua hata paving 10 kwa wakati mmoja?
 
Karibu sana mkuu nimekupm namba yangu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…