Habar wanajamii!
Nimefungua kampuni yangu ya Fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwa wenye Changamoto ya wadudu kama
Mende, kunguni, mchwa, sisimizi, Panya n.k katika maeneo ya
Mahotel, majumbani, maghala, site ya ujenzi tuwasiliana nina wataalam waliobobea katika sekta hii waliosomea TPRI bei yetu ni maelewano tunapatikana hapa Kijenge Arusha!