Ukikumbuka kuwa jamaa wamepita hatua ya awali ambayo Uto walipigwa Home and Away, unabaki kusema 'Sisi Utopolo na wa Songea, Mbeya, Mara na Kagera' haya mambo ya Kucheza Kimataifa tuwaachie Simba Mnyama!
Namsikia kocha wa galaxy akiwaambia wachezaji kua katika carrier yake ya ukufunzi hajawahi kukutana na mpinzani mwenye kiwango cha juu kama simba
Kocha ameenda mbali akiwatoa wasi wasi kua hamjakosea mahala, mmecheza kama nilivyo waambia ila mbinu nilizosomea ni ngumu kuzitumia kwa wapinzani kama simba, cha msingi tujitahidi tushikilie bomba walau tupigwe goli mbili bila
Ukikumbuka kuwa jamaa wamepita hatua ya awali ambayo Uto walipigwa Home and Away, unabaki kusema 'Sisi Utopolo na wa Songea, Mbeya, Mara na Kagera' haya mambo ya Kucheza Kimataifa tuwaachie Simba Mnyama!