mkuuu hatufungwi tena sahau kabisa hakuna timu ya kutufunga kwa sasa Africa kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo
kwa hiyo kimahesabu sie ni mabingwa wapya wa ligi na mabingwa wa caf champions league msimu ujao
uharo utauona kwnye makundi tulia hivyo hivyo kijana zile sindano tano tano zinakuja kama huo unauona uharo basi ujue huo ni wa kuku wa bata tunausubiri tuuone kwenye makundi
ni kweli timu yetu ni ya mchangani ndo maana tukawapiga cha nguruwe