Ukiwatafakari Utopolo Utagundua WanaipePENDA saaana Michuano hii ndo maana Wapo wengi humu na 'husda' Zao...Tatizo ni Timu Yao haikazi roundi ya wapi Chaliiii...!
Msukule Uliwadanganya Kuwa DOMO lake ndo kila kitu. Kumbe inahitaji kuwa na Timu Ya Ushindani.