Kwa hiyo hapa hesabu ni Yanga atamfunga huyu Al hilal na Mc alger siyo? Kazi ipo, hapa muombeeni Mazembe afufuke naye asaidie kumpunguza mmoja kasi ila hawaonekani kama ni wepesi sana.
Ili yanga apite itabidi mechi mbili zilizobaki tupate goli zaidi ya tano, Mc Alger afungwe kwa mkapa, ugumu unakuja Mazembe inabidi amfunge Mc Alger huko kwao (sio draw).
Kwa hiyo hapa hesabu ni Yanga atamfunga huyu Al hilal na Mc alger siyo? Kazi ipo, hapa muombeeni Mazembe afufuke naye asaidie kumpunguza mmoja kasi ila hawaonekani kama ni wepesi sana.
Kwa hiyo hapa hesabu ni Yanga atamfunga huyu Al hilal na Mc alger siyo? Kazi ipo, hapa muombeeni Mazembe afufuke naye asaidie kumpunguza mmoja kasi ila hawaonekani kama ni wepesi sana.