Jamaa inasemekana chimbuko lake ni kama anatokea maeneo ya makambi ya wakimbizi au mpakani, hivyo uraia wake una walakini. Hivyo wanataka kujiridhisha kwanza juu ya hilo na kusiwe na utata wowote. Vinginevyo nchi inaweza kuingia kwenye kashfa kubwa si unajua tena haya mambo?
That's why wanataka ku clear kabisa