Friji milango 2 inauzwa.

pachanya

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2012
Posts
2,131
Reaction score
2,385
Friji brand ya BOSS Inauzwa.
Bei 270,000 fixed (haipungui)
Mahali ilipo kimara Dar es salaam
Imetumika mwaka mmoja bado ipo kwenye muda wa warranty
Mawasiliano; 0654505476
 
watanzania na Duniani kwa ujumla hatujazoea hivyo, bora ungeanza hata na 300000 alafu ndo uje Ukomee kwenye hyo 270 yako.
 
Bei nzuri sana hiyo jamani acheni majungu.
Daaa sema nipo Mbeya hiyo kitu mate yananitoka live
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…