Ni kweL iLa anachokifanYa LunYa kiLLer kakifanYa miAKa ya NyuMaaLunya mtu na nusu
Mi ni mshamba wa mwanza mwanza kwenye poriSio kila young ni killer uwezo utajieleza, na sio kila sharobaro imeandikwa atafia muheza.
Lunya hana mistari ya kushindana na killer hata kidogo.. Mfano ukisikiliza hizi ngoma za killer utajua jamaa ni noma na alizifanya akiwa na umri mdogo sana (IQ) yake ni kubwa sana.Dogo mbuzii young lunya anaupga mwingiii but anachokifanya young lunya killer msodokii kakifanya miaka 10 iliyopitaa so hakuna kulinganisha young lunya ni mkalii ila kufkia levels za msodokii bado
Then session 4 ni kaLiii but kasikilizen iLe sinaga swaga sijui ni namba ngap msodokii anasema anatae nijibu demu wangu mkiniacha mmeniogopa,kuhusu dogo janja na young dee me nd mkubwa wao wa kaz msodOkii mkaLiii
Sema kunA doNgo LimetupWa kwenye session 4 anaimba naachia mawe juu ya mawe mwanza