Ben samwel
Member
- Jun 24, 2024
- 15
- 46
kile mnachofanya sio trading ni BETTING, kiutalaam zaidi inaitwa PERPETUAL CONTRACTS ama kwa kiswahili inaitwa mkeka, yournot buying anything pale or selling unaweka tu mkeka wako na broka anaweza kukuongezea ulichonunua hua mnaita LEVERAGE because itsnot real its just typed na haina uhusiano na real trading, but if you buy something via SPOT mfano ukinunua hisa pale DSE you have kua na exact amount ili uweze kupata share zako the same way ukinunua bitcoin unataka kuweka trust wallet but when it comes to forex you arent trading anything pale but just a couple of bets other places you can bet include DERIVATIVES mfano futures trading because itsnot real
kile mnachofanya sio trading ni BETTING, kiutalaam zaidi inaitwa PERPETUAL CONTRACTS ama kwa kiswahili inaitwa mkeka, yournot buying anything pale or selling unaweka tu mkeka wako na broka anaweza kukuongezea ulichonunua hua mnaita LEVERAGE because itsnot real its just typed na haina uhusiano na real trading, but if you buy something via SPOT mfano ukinunua hisa pale DSE you have kua na exact amount ili uweze kupata share zako the same way ukinunua bitcoin unataka kuweka trust wallet but when it comes to forex you arent trading anything pale but just a couple of bets other places you can bet include DERIVATIVES mfano futures trading because itsnot
Kama haya yote unayafaham bas umebakisha hatua chache kuielewa forex kidogo japo kiukwel hujaielewa...in forex hata ukiamua kufanya spot unaweza unaenda benk yoyote na dollar zako na kitambulisho cha nida wanakubadilishia hela unayotaka ndo maana katika kila benki kuna rate za kununua na kuuza mfano wananunua dola kwa 2500 labda alaf wanauza kwa 2550 hio ndo spot trading ya forex..sasa technologia imeshatoka huko sasa ivi kuna futures trading ambayo huitaji kwenda benki kununua na kuuza hela mtandaon unaziuza kupitia miamala ya simu kupitia kwa broker kama una dollar zako unaweza kutrade na kununua au kuuza EURO, Yen ya japan, dollar ya uswiss, pound ya uingereza na pesa nyingi duniani..na FOREX INAYOFANYWA MTANDAONI ndo soko kubwa lilipo kwasababu mtandaon hamna mipaka dunia nzima ina trade ila hio spot unafanya tu kwenye benk zilizo nchini kwako..Hata hio bitcoin unayoiongelea, ulishawah kwenda kununua bitcoin ukapewa mkononi, Je hayo makampuni makubwa Duniani kama Binance, coindesk, bybit, coin base, HTX, ambayo yanafanya biashara ya bitcoin, unadhani ni watu wanaamka asubuh na kubet, na kama wangekua wana bet bas wana bahati sana, Haya umeongelea DSE sasaivi yenyew hisa soko la DSM zipo online download application yao utrade hisa za hapa nchini...yaan unachoongelea ww ni kama kukataa kua BIASHARA YA FOREX AU SOKO LA FOREX HALIJAHAMIA MTANDAONI lakin kiuhalisia biashara zote na product zote za forex zina tradiwa mtandaonikile mnachofanya sio trading ni BETTING, kiutalaam zaidi inaitwa PERPETUAL CONTRACTS ama kwa kiswahili inaitwa mkeka, yournot buying anything pale or selling unaweka tu mkeka wako na broka anaweza kukuongezea ulichonunua hua mnaita LEVERAGE because itsnot real its just typed na haina uhusiano na real trading, but if you buy something via SPOT mfano ukinunua hisa pale DSE you have kua na exact amount ili uweze kupata share zako the same way ukinunua bitcoin unataka kuweka trust wallet but when it comes to forex you arent trading anything pale but just a couple of bets other places you can bet include DERIVATIVES mfano futures trading because itsnot real
FOREX NA BETTING...ndug yang forex trading sio betting ijapo kua KUNA MSTARI MWEMBAMBA SANA UNAOTOFAUTISHA FOREX NA BETTING...watu wengi wanavamia forex wakijua ni kitu rahis tu ambacho mtu yoyote anaweza kufanya, ila kiukweli forex trading ni kama profession nyingine kama unavoona madaktari, waalimu, na wanasheria labda, inakuhitaji mda wa kujifunza sana alaf pesa itakuja baadae, kulijua soko nje na ndani, kwamfano kitu kama Bitcoin huwez kujifunza tu mwezi mmoja au miwili alafu unategemea ukaitrade upate hela, unaitaji skills, expirience ya kutosha, lijue soko in and out..ukitaka kununua au kuuza chochote uwe na sababu ya msingi kwanini unanunua au unauza hicho kitu, shida ya wengi hawana elimu alaf wanaingia kwenye soko hapo unakua unabett..tofaut kubwa kati ya watu waliofanikiwa kweny forex na ambao hawajafanikiwa ni..1, elimu..2 uzoefu wa kutrade forex...3 wanaweza kujicontrol kutokua na tamaa za kutengeneza pesa nying kwa wakat mmoja wana risk managment nzuri nikimaanisha wnatengeneza zaid ya wanachopoteza, HIVYO ujuzi wako ndo utatuambia JE UNATRADE AU UNA BET? ulishawah kuona mtu amepata udaktari ndani ya mwaka mmoja, au mtu amekua mwanasheria kwa mwaka mmoja..ulishawah kuona mtu amekua mfanyabiashara mkubwa na maarufu chap chap ndani ya miez sita,kila profession inachukua muda vile vile kama forex, cha msing ni kulinda mtaji wako ili utrade kwa mda mrefukile mnachofanya sio trading ni BETTING, kiutalaam zaidi inaitwa PERPETUAL CONTRACTS ama kwa kiswahili inaitwa mkeka, yournot buying anything pale or selling unaweka tu mkeka wako na broka anaweza kukuongezea ulichonunua hua mnaita LEVERAGE because itsnot real its just typed na haina uhusiano na real trading, but if you buy something via SPOT mfano ukinunua hisa pale DSE you have kua na exact amount ili uweze kupata share zako the same way ukinunua bitcoin unataka kuweka trust wallet but when it comes to forex you arent trading anything pale but just a couple of bets other places you can bet include DERIVATIVES mfano futures trading because itsnot real
Na ukiongelea kuhusu hizo asilimia sjui hakuna anaeweza kutengeneza asilimia 1..pia unakosea hizo faida pia zinatengenezwa kulingana pia na mtu yupo tayar kupoteza kias gan (risk apetite) kwa watu wanaoweza kurisk pesa nyingi kwenye trade moja anaweza kutengeneza asilimia nyingi kwasababu ana risk sana japo sio njia sahihi ya kutrade, mtu anatakiwa a risk kidogo kile anachoweza kupoteza ili aendelee kuwepo sokon na asipoteze mtaji wake
Kama haya yote unayafaha bas umebakisha hatua chache kuielewa forex kidogo japo kiukwel hujaielewa...in forex hata ukiamua kufanya spot unaweza unaenda benk yoyote na dollar zako na kitambulisho cha nida wanakubadilishia hela unayotaka ndo maana katika kila benki kuna rate za kununua na kuuza mfano wananunua dola kwa 2500 labda alaf wanauza kwa 2550 hio ndo spot trading ya forex..sasa technologia imeshatoka huko sasa ivi kuna futures trading ambayo huitaji kwenda benki kununua na kuuza hela mtandaon unaziuza kupitia miamala ya simu kupitia kwa broker kama una dollar zako unaweza kutrade na kununua au kuuza EURO, Yen ya japan, dollar ya uswiss, pound ya uingereza na pesa nyingi duniani..na FOREX INAYOFANYWA MTANDAONI ndo soko kubwa lilipo kwasababu mtandaon hamna mipaka dunia nzima ina trade ila hio spot unafanya tu kwenye benk zilizo nchini kwako..Hata hio bitcoin unayoiongelea, ulishawah kwenda kununua bitcoin ukapewa mkononi, Je hayo makampuni makubwa Duniani kama Binance, coindesk, bybit, coin base, HTX, ambayo yanafanya biashara ya bitcoin, unadhani ni watu wanaamka asubuh na kubet, na kama wangekua wana bet bas wana bahati sana, Haya umeongelea DSE sasaivi yenyew hisa soko la DSM zipo online download application yao utrade hisa za hapa nchini...yaan unachoongelea ww ni kama kukataa kua BIASHARA YA FOREX AU SOKO LA FOREX HALIJAHAMIA MTANDAONI lakin kiuhalisia biashara zote na product zote za forex zina tradiwa mtandaoni
FOREX NA BETTING...ndug yang forex trading sio betting ijapo kua KUNA MSTARI MWEMBAMBA SANA UNAOTOFAUTISHA FOREX NA BETTING...watu wengi wanavamia forex wakijua ni kitu rahis tu ambacho mtu yoyote anaweza kufanya, ila kiukweli forex trading ni kama profession nyingine kama unavoona madaktari, waalimu, na wanasheria labda, inakuhitaji mda wa kujifunza sana alaf pesa itakuja baadae, kulijua soko nje na ndani, kwamfano kitu kama Bitcoin huwez kujifunza tu mwezi mmoja au miwili alafu unategemea ukaitrade upate hela, unaitaji skills, expirience ya kutosha, lijue soko in and out..ukitaka kununua au kuuza chochote uwe na sababu ya msingi kwanini unanunua au unauza hicho kitu, shida ya wengi hawana elimu alaf wanaingia kwenye soko hapo unakua unabett..tofaut kubwa kati ya watu waliofanikiwa kweny forex na ambao hawajafanikiwa ni..1, elimu..2 uzoefu wa kutrade forex...3 wanaweza kujicontrol kutokua na tamaa za kutengeneza pesa nying kwa wakat mmoja wana risk managment nzuri nikimaanisha wnatengeneza zaid ya wanachopoteza, HIVYO ujuzi wako ndo utatuambia JE UNATRADE AU UNA BET? ulishawah kuona mtu amepata udaktari ndani ya mwaka mmoja, au mtu amekua mwanasheria kwa mwaka mmoja..ulishawah kuona mtu amekua mfanyabiashara mkubwa na maarufu chap chap ndani ya miez sita,kila profession inachukua muda vile vile kama forex, cha msing ni kulinda mtaji wako ili utrade kwa mda mrefu
FOREX NA BETTING...ndug yang forex trading sio betting ijapo kua KUNA MSTARI MWEMBAMBA SANA UNAOTOFAUTISHA FOREX NA BETTING...watu wengi wanavamia forex wakijua ni kitu rahis tu ambacho mtu yoyote anaweza kufanya, ila kiukweli forex trading ni kama profession nyingine kama unavoona madaktari, waalimu, na wanasheria labda, inakuhitaji mda wa kujifunza sana alaf pesa itakuja baadae, kulijua soko nje na ndani, kwamfano kitu kama Bitcoin huwez kujifunza tu mwezi mmoja au miwili alafu unategemea ukaitrade upate hela, unaitaji skills, expirience ya kutosha, lijue soko in and out..ukitaka kununua au kuuza chochote uwe na sababu ya msingi kwanini unanunua au unauza hicho kitu, shida ya wengi hawana elimu alaf wanaingia kwenye soko hapo unakua unabett..tofaut kubwa kati ya watu waliofanikiwa kweny forex na ambao hawajafanikiwa ni..1, elimu..2 uzoefu wa kutrade forex...3 wanaweza kujicontrol kutokua na tamaa za kutengeneza pesa nying kwa wakat mmoja wana risk managment nzuri nikimaanisha wnatengeneza zaid ya wanachopoteza, HIVYO ujuzi wako ndo utatuambia JE UNATRADE AU UNA BET? ulishawah kuona mtu amepata udaktari ndani ya mwaka mmoja, au mtu amekua mwanasheria kwa mwaka mmoja..ulishawah kuona mtu amekua mfanyabiashara mkubwa na maarufu chap chap ndani ya miez sita,kila profession inachukua muda vile vile kama forex, cha msing ni kulinda mtaji wako ili utrade kwa mda mrefu
mdogo wangu forex sio ujuzi msitake ionekane kma kitu serious, forex inatrediwa central banks pekee nje ya apo hakuna anaeweza kufanya trading ya currency kwa niaba ya nchi husika, unaweza kufanya biashara ya sarafu kama byuro de change but you cant trade forex hio haiwezekan na hakuna soko hilo, yaaani kwa lugha nyepesi unachofanya sio tradingFOREX NA BETTING...ndug yang forex trading sio betting ijapo kua KUNA MSTARI MWEMBAMBA SANA UNAOTOFAUTISHA FOREX NA BETTING...watu wengi wanavamia forex wakijua ni kitu rahis tu ambacho mtu yoyote anaweza kufanya, ila kiukweli forex trading ni kama profession nyingine kama unavoona madaktari, waalimu, na wanasheria labda, inakuhitaji mda wa kujifunza sana alaf pesa itakuja baadae, kulijua soko nje na ndani, kwamfano kitu kama Bitcoin huwez kujifunza tu mwezi mmoja au miwili alafu unategemea ukaitrade upate hela, unaitaji skills, expirience ya kutosha, lijue soko in and out..ukitaka kununua au kuuza chochote uwe na sababu ya msingi kwanini unanunua au unauza hicho kitu, shida ya wengi hawana elimu alaf wanaingia kwenye soko hapo unakua unabett..tofaut kubwa kati ya watu waliofanikiwa kweny forex na ambao hawajafanikiwa ni..1, elimu..2 uzoefu wa kutrade forex...3 wanaweza kujicontrol kutokua na tamaa za kutengeneza pesa nying kwa wakat mmoja wana risk managment nzuri nikimaanisha wnatengeneza zaid ya wanachopoteza, HIVYO ujuzi wako ndo utatuambia JE UNATRADE AU UNA BET? ulishawah kuona mtu amepata udaktari ndani ya mwaka mmoja, au mtu amekua mwanasheria kwa mwaka mmoja..ulishawah kuona mtu amekua mfanyabiashara mkubwa na maarufu chap chap ndani ya miez sita,kila profession inachukua muda vile vile kama forex, cha msing ni kulinda mtaji wako ili utrade kwa mda mrefu
Mkuu hawa jamaa wa forex hawajawahi kuelewa kwamba wanachofanya ni ujinga nahisi zile charts ni madawa ya kulevya, kila nikipata mshkaji alaf akaanza story za forex huwa namkimbia na akili zao wote huwa zinafanana plus story za mafanikio ambayo unaona mtu anayeongea hana dalili za kuwa na hayo mafanikiomdogo wangu forex sio ujuzi msitake ionekane kma kitu serious, forex inatrediwa central banks pekee nje ya apo hakuna anaeweza kufanya trading ya currency kwa niaba ya nchi husika, unaweza kufanya biashara ya sarafu kama byuro de change but you cant trade forex hio haiwezekan na hakuna soko hilo, yaaani kwa lugha nyepesi unachofanya sio trading
najua unapenda watu waone unafanya kitu serious but uhalisia ndo huo, kinachokusumbua wewe ni ulipata elimu magumash
kingine hakuna mtu anaweza kutengeneza pesa kila mwezi kwa forex na haiwezi tokea, kwa lugha nyepesi hakuna mtu anaishi kwa forex unless unafundisha ama uko na broka unamtafutia wateja ama unauza bot
the best u can do ni kama unafanya HFT apart from that unapoteza mda
hahaha akili zao wote zko sawa ila tunaenda nao taratibu ivo ivo viboko vikihitajika vitatumikaMkuu hawa jamaa wa forex hawajawahi kuelewa kwamba wanachofanya ni ujinga nahisi zile charts ni madawa ya kulevya, kila nikipata mshkaji alaf akaanza story za forex huwa namkimbia na akili zao wote huwa zinafanana plus story za mafanikio ambayo unaona mtu anayeongea hana dalili za kuwa na hayo mafanikio
hahaha akili zao wote zko sawa ila tunaenda nao taratibu ivo ivo viboko vikihitajika vitatumika
Hahaha..Bro mbona mimi nakupa Fact zilizo nyooka kabisa, alaf ww unaleta ushabaki maandazi๐..ww kama uliishindwa kubali kwamba ww ndo ulishindwa na kushindwa sio aibu wala ujinga, na hata ukisema forex ni betting sishangai maana hata unachokisema huna vithibitisho vilivo nyooka kunishawishi kwamba forex na aviator ni sawa..Tena kwa heshima zote: naona watu walio trade maisha yao yote kama Warren buffet ambae ni mtaalam wa stocks akiskia kuna kijana MTANZANIA anafananisha FOREX NA AVIATOR anaweza akashuka apo julias nyerere na ndege aje akuone. Mbaya zaidi si kwa UBAYA unajiita STAKE HIGH, yaan unaonekana una risk sana, ni ngumu sana kuuona ufalme wa FOREX๐hahaha akili zao wote zko sawa ila tunaenda nao taratibu ivo ivo viboko vikihitajika vitatumika
kwahio warren buffet ni trader? unajua tafauti ya trader na investor ama tuanze basics?Hahaha..Bro mbona mimi nakupa Fact zilizo nyooka kabisa, alaf ww unaleta ushabaki maandazi๐..ww kama uliishindwa kubali kwamba ww ndo ulishindwa na kushindwa sio aibu wala ujinga, na hata ukisema forex ni betting sishangai maana hata unachokisema huna vithibitisho vilivo nyooka kunishawishi kwamba forex na aviator ni sawa..Tena kwa heshima zote: naona watu walio trade maisha yao yote kama Warren buffet ambae ni mtaalam wa stocks akiskia kuna kijana MTANZANIA anafananisha FOREX NA AVIATOR anaweza akashuka apo julias nyerere na ndege aje akuone. Mbaya zaidi si kwa UBAYA unajiita STAKE HIGH, yaan unaonekana una risk sana, ni ngumu sana kuuona ufalme wa FOREX๐
kwahio warren buffet ni trader? unajua tafauti ya trader na investor ama tuanze basics?
kingine mm skulazimishi uamini maaana maisha ya watu wa forex
Kwahiyo trader sio investor? Ni trader na ni investor, unaona ni investor kwasababu yeye ni trader wa miaka mingi na amewekeza kwenye vitu ngine vingi ukiachana na masuala ya hisa.kwahio warren buffet ni trader? unajua tafauti ya trader na investor ama tuanze basics?
kingine mm skulazimishi uamini maaana maisha ya watu wa forex yapo the same
ujue kuna mda watu wa forex mnatakiwa stiki zitembee? kwahio wewe umeona investor na trader ni sawa si ndio?Kwahiyo trader sio investor? Ni trader na ni investor, unaona ni investor kwasababu yeye ni trader wa miaka mingi na amewekeza kwenye vitu ngine vingi ukiachana na masuala ya hisa.
Yaaah..ni swala zuri pia
ujue kuna mda watu wa forex mnatakiwa stiki zitembee? kwahio wewe umeona investor na trader ni sawa si ndio?
ebu pum
Trading ni short term(ndani ya mda mfupi) kuwekeza ni long term(ndani ya mda mrefu) trader anakua investor kama atatumia faida zake anazopata kununua product ambazo zina uwezekano mkubwa wa kupanda bei miaka ya usoni kama sasa ivi unaweza kuwekeza kwenye dhahabu, bitcoin na baadhi ya hisa hasa za makapuni ya AI na mengine, hata machinga wa kariakoo anaweza akaamua kua investor kama ataweka akiba au ile faida yake akaiwekeza kwenye kitu chenye iwezekano wa kupanda bei siku za usoni my Brother...ujue kuna mda watu wa forex mnatakiwa stiki zitembee? kwahio wewe umeona investor na trader ni sawa si ndio?
ebu pumzika
Trading ni short term(ndani ya mda mfupi) kuwekeza ni long term(ndani ya mda mrefu) trader anakua investor kama atatumia faida zake anazopata kununua product ambazo zina uwezekano mkubwa wa kupanda bei miaka ya usoni kama sasa ivi unaweza kuwekeza kwenye dhahabu, bitcoin na baadhi ya hisa hasa za makapuni ya AI na mengine, hata machinga wa kariakoo anaweza akaamua kua investor kama ataweka akiba au ile faida yake akaiwekeza kwenye kitu chenye iwezekano wa kupanda bei siku za usoni my Brother...
Trading ni short term(ndani ya mda mfupi) kuwekeza ni long term(ndani ya mda mrefu) trader anakua investor kama atatumia faida zake anazopata kununua product ambazo zina uwezekano mkubwa wa kupanda bei miaka ya usoni kama sasa ivi unaweza kuwekeza kwenye dhahabu, bitcoin na baadhi ya hisa hasa za makapuni ya AI na mengine, hata machinga wa kariakoo anaweza akaamua kua investor kama ataweka akiba au ile faida yake akaiwekeza kwenye kitu chenye iwezekano wa kupanda bei siku za usoni my Brother...
My Brother NASDAQ ipo marekani, new york. Kama una huo mtaji mzuri wa kwenda marekani kununua hisa za GOOGLE huko marekani basi SAFARI NJEMA, hao wanaomtumia Deriv wakiwa majumbani au makazini kwao ila wakiwa TZ wao pia waache wanunue hisa za NASDAQ kupitia kwa broker wao DERIV..NA deriv ni moja kati ya kampuni kubwa Africa yenye uzoefu wa masuala ya forex kwa zaidi ya miaka 20 hapa Tanzania Deriv wapo MIAKA NA MIAKA ww ndo umechelewa kuwajua๐ idris sultan analipwa na Deriv kuitangaza!! WEWE NANI? UNA NINI? UNA KAMPUNI YENYE HATA MIAKA 10 WEWE? Na hii ni kitu cha mtandaoni hata kuchagua broker wa kumtumia ni kitu ambacho unatakiwa ukijue kabla ya kuweka pesa yoyotenicheke kwanzaa, na wewe uko forex nn maaaana akili zile zile, kwahio unataka kusema kwamba nkinunua hisa za google pale NASDAQ na mwinginr aliebet hisa za google pale DERIV tuko sawa si ndio?
- kwahio nkisema nishikilie zile hisa za google pale deriv mwisho wa mwaka google watantamtua kama mwekezaji wao si ndio? na ntapata gawio kabisa si ndio? ๐ ๐ ๐ ๐ ! yaaani mpaka tafauti ya trader na investor hamjui sasa hio forex mtaijua kwel?
We jamaa kama nakujua hahahaaTrading ni short term(ndani ya mda mfupi) kuwekeza ni long term(ndani ya mda mrefu) trader anakua investor kama atatumia faida zake anazopata kununua product ambazo zina uwezekano mkubwa wa kupanda bei miaka ya usoni kama sasa ivi unaweza kuwekeza kwenye dhahabu, bitcoin na baadhi ya hisa hasa za makapuni ya AI na mengine, hata machinga wa kariakoo anaweza akaamua kua investor kama ataweka akiba au ile faida yake akaiwekeza kwenye kitu chenye iwezekano wa kupanda bei siku za usoni my Brother...
sidhan kama ni busara kuanza kubishana na wewe kitu hukijui, na wala sio mahali husika pa kuanza kukufundisha labda nkuachie screenshot kadhaaa utaeleewa zaidi: ila napenda kukwambia mpaka sasa huna uelewa na hujui ata forex ni nn, yaaani huelewi ata uhusiano wako na broka ukojeMy Brother NASDAQ ipo marekani, new york. Kama una huo mtaji mzuri wa kwenda marekani kununua hisa za GOOGLE huko marekani basi SAFARI NJEMA, hao wanaomtumia Deriv wakiwa majumbani au makazini kwao ila wakiwa TZ wao pia waache wanunue hisa za NASDAQ kupitia kwa broker wao DERIV..NA deriv ni moja kati ya kampuni kubwa Africa yenye uzoefu wa masuala ya forex kwa zaidi ya miaka 20 hapa Tanzania Deriv wapo MIAKA NA MIAKA ww ndo umechelewa kuwajua๐ idris sultan analipwa na Deriv kuitangaza!! WEWE NANI? UNA NINI? UNA KAMPUNI YENYE HATA MIAKA 10 WEWE? Na hii ni kitu cha mtandaoni hata kuchagua broker wa kumtumia ni kitu ambacho unatakiwa ukijue kabla ya kuweka pesa yoyote
ALAFU vijana wengi mnaingia kwenye forex na mindset ya betting, wakati trading ni BIASHARA KAMA BIASHARA NYINGINE...kwasababu kila kitu kina bei yake sokoni, na bei inabadilika badilika kulingana na jinsi dunia inavyoenda na hakuna mtu duniani mwenye uwezo wa kujua exactly kesho Kesho Bei ya HISA kama za NASDAQ itakua ni shilling ngapi..ingekua rahisi hivo kila mtu duniani angekua tajiri, Hata ww unaweza ukanunua hisa leo kesho zikapanda au zikashuka rejea uone HISA ZA NASDAQ zilivoporomoka kipind cha CORONA kwahiyo kama ww BLAZA ungeenda marekani kununua hisa za GOOGLE HAPO NASDAQ alafu corona ingekukuta huko..UNGEFILISIKA!
Kwahiyo kwenda tu kununua hakuna garantii kwamba utapata faida..
KIJANA forex inahitaji NIDHAMU, tena ya biashara, inahitaji uwe mtu wa kujifunza kila siku, lazima pia ufuatilie masuala ya dunia yanaendaje kwasababu soko hilo linaangaliwa na dunia nzima
ujue kulichambua soko na kulielewa UKIFUNGUA ZILE CHARTS UNATAKIWA UELEWE NI NINI KINAENDELEA, ni nini kimetokea na utarajie kuona nini, kama ukifungua zile charts unaona kindege cha AVIATOR achana nayo
ALAFU mbona forex ni rahisi๐ kwasababu ndo Biashara pekee ambayo unaweza kujijenga na kujielimisha na kukua ndani yake bila hata kuweka pesa yako..TUMIA DEMO ACCOUNT ambayo huweki ata mia alafu jifunze na uweke juhudi ukiona unaweza kutengeneza hela kwenye DEMO ndio unaweka pesa yako ukiona kwenye DEMO huelewi unapoteza tu...ACHANA NAYO
My Brother NASDAQ ipo marekani, new york. Kama una huo mtaji mzuri wa kwenda marekani kununua hisa za GOOGLE huko marekani basi SAFARI NJEMA, hao wanaomtumia Deriv wakiwa majumbani au makazini kwao ila wakiwa TZ wao pia waache wanunue hisa za NASDAQ kupitia kwa broker wao DERIV..NA deriv ni moja kati ya kampuni kubwa Africa yenye uzoefu wa masuala ya forex kwa zaidi ya miaka 20 hapa Tanzania Deriv wapo MIAKA NA MIAKA ww ndo umechelewa kuwajua๐ idris sultan analipwa na Deriv kuitangaza!! WEWE NANI? UNA NINI? UNA KAMPUNI YENYE HATA MIAKA 10 WEWE? Na hii ni kitu cha mtandaoni hata kuchagua broker wa kumtumia ni kitu ambacho unatakiwa ukijue kabla ya kuweka pesa yoyote
ALAFU vijana wengi mnaingia kwenye forex na mindset ya betting, wakati trading ni BIASHARA KAMA BIASHARA NYINGINE...kwasababu kila kitu kina bei yake sokoni, na bei inabadilika badilika kulingana na jinsi dunia inavyoenda na hakuna mtu duniani mwenye uwezo wa kujua exactly kesho Kesho Bei ya HISA kama za NASDAQ itakua ni shilling ngapi..ingekua rahisi hivo kila mtu duniani angekua tajiri, Hata ww unaweza ukanunua hisa leo kesho zikapanda au zikashuka rejea uone HISA ZA NASDAQ zilivoporomoka kipind cha CORONA kwahiyo kama ww BLAZA ungeenda marekani kununua hisa za GOOGLE HAPO NASDAQ alafu corona ingekukuta huko..UNGEFILISIKA!
Kwahiyo kwenda tu kununua hakuna garantii kwamba utapata faida..
KIJANA forex inahitaji NIDHAMU, tena ya biashara, inahitaji uwe mtu wa kujifunza kila siku, lazima pia ufuatilie masuala ya dunia yanaendaje kwasababu soko hilo linaangaliwa na dunia nzima
ujue kulichambua soko na kulielewa UKIFUNGUA ZILE CHARTS UNATAKIWA UELEWE NI NINI KINAENDELEA, ni nini kimetokea na utarajie kuona nini, kama ukifungua zile charts unaona kindege cha AVIATOR achana nayo
ALAFU mbona forex ni rahisi๐ kwasababu ndo Biashara pekee ambayo unaweza kujijenga na kujielimisha na kukua ndani yake bila hata kuweka pesa yako..TUMIA DEMO ACCOUNT ambayo huweki ata mia alafu jifunze na uweke juhudi ukiona unaweza kutengeneza hela kwenye DEMO ndio unaweka pesa yako ukiona kwenye DEMO huelewi unapoteza tu...ACHANA NAYO
usimlaumu mtu kwann mpaka leo forex haikutoi na akili ndo izi, kwa lugha nyepesi hujui anything about the forex market, yaaani nyie ni wale kusema forex is exchange of currencies alafu ndan mnaanza kuelezea stocks, crypto ๐ ๐ ๐
Hebu na wew soma iyo screenshot ya CHATGPT...maana naona betting imekuharibu akili, soma na conclusion vizuri!sidhan kama ni busara kuanza kubishana na wewe kitu hukijui, na wala sio mahali husika pa kuanza kukufundisha labda nkuachie screenshot kadhaaa utaeleewa zaidi: ila napenda kukwambia mpaka sasa huna uelewa na hujui ata forex ni nn, yaaani huelewi ata uhusiano wako na broka ukoje
View attachment 3028684
forex unaojua wewe ni ya kimagumash, ile ya mamentor! kuna reason kwann umefundishwa hizo garbaage na waliotengeneza izo content ni mabroka wenyewe! infact sio tu kujua deriv naweza kuitengeneza deriv yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho