MZALENDOWAKWELIKWELI
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 331
- 211
noted.
so 1sqm is approximate Tshs.185,700/= ??????
Duh hata mimi nina kiwanja maeneo hayo mkuu ila sikujua bei imefikia hapo sasa hvi
Hapo ndo arusha city centre?
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
mawalla estate yenyewe kule ndani rate per sq.m ipo around 80,000 ... kuna lami.. umeme .. maji... kumejengeka zaidi na kuna mazingira mazuri zaidi.. burka bado sana kwa bei hiyo... rate per. sq.m burka sasa hivi ni around 30,000,, usishike watu maskio.
"peace" of land!!You may wonder how cheap it is compared to the intrinsic value of that peace of land with regard to variety of projects one can raise, from residential to commercial....
Ninachotaka kujua..hiki kiwanja kiliuzwa??? Arusha wanamaisha ya uongo sana. Hilo eneo halina maji, barabara kimeo na umeme unga unga mwana.