Khaaaa!! Jamani foleni gani hii ya Ubungo inayoanzia mataa ya Mliman City ofisi za Voda?? Tunaomba serikali ichukue hatua za ziada! malori mengi na Strabag nao wanaziba ziba barabara tu. Tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .
Tunaitaji miundombinu ya kueleweka,traffic police kama huyo,na tupanue huduma za jamii nje ya mji si kila kitu mpaka posta kama bank,ofisi,shule,wizara,posta nk
!
!
fanya maamuzi ya kiume mkuu....toa gari njia kuu.....tafuta bar ya karibu agiza kili mbili na spoti moja. Ukimaliza njia itakuwa nyeupee foleni imeisha tayari