TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 15,205 Reaction score 25,397 May 7, 2020 #2 Mkuu bado upo kwenye hizo kitu?
Mr Mose JF-Expert Member Joined Jun 11, 2016 Posts 369 Reaction score 529 May 7, 2020 #3 Pole sana mkuu, kwa maelezo haya inaonekana umeliwa any way usikate tamaa. Wekeza nguvu zako katika kujifunza hizo mambo za bitcoin. Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu, kwa maelezo haya inaonekana umeliwa any way usikate tamaa. Wekeza nguvu zako katika kujifunza hizo mambo za bitcoin. Sent using Jamii Forums mobile app
G.T.L JF-Expert Member Joined Jul 15, 2012 Posts 1,738 Reaction score 3,964 May 7, 2020 #4 Thanks mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
covid 19 JF-Expert Member Joined May 9, 2014 Posts 8,045 Reaction score 20,078 May 7, 2020 #5 Francis Mrema, Haya mambo mengine mtu unataka kutapeliwa mwenyewe tu..
balibabambonahi JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 16,513 Reaction score 15,153 May 7, 2020 #6 Pips Man said: Francis Mrema, Haya mambo mengine mtu unataka kutapeliwa mwenyewe tu.. Click to expand... Tamaa. Sent using Jamii Forums mobile app
Pips Man said: Francis Mrema, Haya mambo mengine mtu unataka kutapeliwa mwenyewe tu.. Click to expand... Tamaa. Sent using Jamii Forums mobile app
Ukwaju JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 13,384 Reaction score 11,268 May 7, 2020 #7 SUBIRI MAYAMK HUMU JUKWAANI WATAKAVYOKUSHAMBULIA tulishawaambia kwa sana tu
Msonjo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2019 Posts 1,378 Reaction score 2,394 May 7, 2020 #8 Hii kitu ya cryptocurrency kuna jamaa zangu iliwaingia sana akilini sijui iliwafikisha wapi. Shukran kwa kushare nasi. Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu ya cryptocurrency kuna jamaa zangu iliwaingia sana akilini sijui iliwafikisha wapi. Shukran kwa kushare nasi. Sent using Jamii Forums mobile app
K KUTATABHETAKULE JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,448 Reaction score 5,448 May 7, 2020 #9 Always remember sayings of the wise, "Nothing comes out of nothing".
MC44 JF-Expert Member Joined Mar 1, 2019 Posts 2,168 Reaction score 3,304 May 7, 2020 #10 Yule jamaa yetu atakuwa mdau nn....
FUTURE HUNTER JF-Expert Member Joined Apr 30, 2018 Posts 2,103 Reaction score 2,774 May 7, 2020 #11 Money should be scarce to earn but not too scarce. Pesa halali kuipata ni ngumu lakini pia isiwe ngumu sana. Ukikaa umejua hili si rahisi kutapeliwa kamwe. Sent using Jamii Forums mobile app
Money should be scarce to earn but not too scarce. Pesa halali kuipata ni ngumu lakini pia isiwe ngumu sana. Ukikaa umejua hili si rahisi kutapeliwa kamwe. Sent using Jamii Forums mobile app