Fifa under 20 ghana vs france

Box 2

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
506
Reaction score
117
Naomba kujuzwa mechi hii ya nusu fainali inachezwa lin
 
Unaweza kukuta Ghana ni vijeba,baada ya miaka 4 ukashangaa hawa wachezaji hamna kitu!
 
uyu yaya sanogo bado sana anaitaji msasa wa nguvu
 
Nahisi Ghana wana vijeba,ila uwezo wakusawazisha Ghana upo
 
FT: Ghana 1 france 2 , france wanatinga final wakimsubiri mshindi kati ya uruguay vs iraq mechi itakayoanza saa tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…