kato Kazi Member Joined Sep 21, 2016 Posts 38 Reaction score 21 Oct 11, 2016 #1 Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz
lady Jay JF-Expert Member Joined May 29, 2016 Posts 529 Reaction score 655 Oct 11, 2016 #2 n dio kwa udsm
F Fred Kingo Member Joined Sep 7, 2015 Posts 33 Reaction score 1 Oct 11, 2016 #3 kato Kazi said: Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz Click to expand... duh... bila mkuu field ni baaada ya kumaliza mwaka wa kwanza kwa hapa UDSM... pia BAEd ni degree program na sio faculty...
kato Kazi said: Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz Click to expand... duh... bila mkuu field ni baaada ya kumaliza mwaka wa kwanza kwa hapa UDSM... pia BAEd ni degree program na sio faculty...
kato Kazi Member Joined Sep 21, 2016 Posts 38 Reaction score 21 Oct 12, 2016 Thread starter #4 Fred Kingo said: duh... bila mkuu field ni baaada ya kumaliza mwaka wa kwanza kwa hapa UDSM... pia BAEd ni degree program na sio faculty... Click to expand...
Fred Kingo said: duh... bila mkuu field ni baaada ya kumaliza mwaka wa kwanza kwa hapa UDSM... pia BAEd ni degree program na sio faculty... Click to expand...
thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 12, 2016 #5 kato Kazi said: Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz Click to expand... Hakuna faculty ya BAED Duniani...mjifunze vitu kabla hamjapost.. Ni aibu hiyo isee
kato Kazi said: Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz Click to expand... Hakuna faculty ya BAED Duniani...mjifunze vitu kabla hamjapost.. Ni aibu hiyo isee
fellinjohn7 Member Joined Mar 15, 2013 Posts 65 Reaction score 39 Oct 12, 2016 #6 kato Kazi said: Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz Click to expand... Hiyo ni Degree Program na sio faculty... Afu pia hiyo BaEd ni kila chuo baada ya kumaliza mwaka wa kwanza lazima uende Field,pia baada ya kumaliza mwaka wa pili utaenda!
kato Kazi said: Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz Click to expand... Hiyo ni Degree Program na sio faculty... Afu pia hiyo BaEd ni kila chuo baada ya kumaliza mwaka wa kwanza lazima uende Field,pia baada ya kumaliza mwaka wa pili utaenda!