Asante kwa ushauri,
Wanaoanza kabisa (Beginners Class)..............Tshs 200,000.....huchukua mwezi mmoja
Wenye uzoefu kidogo (Intermediate Class),,,,,,Tshs 250,000......huchukua mwezi mmoja
Utaalamu maalumu (Master Class),,,,,,,,,,,,,,,,,,,Tshs 400,000.....huchukua mwezi mmoja
Hatujasajiliwa, pamoja na kutambua umuhimu wa vyeti rasmi, sisi tunatoa utaaamu wa mtu kujiajiri, au kuongeza ujuzi wa mlengwa........... LAKINI, UTAPEWA CHETI ili kama ni ajira uweze kupata, upate pa kuanzia