Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 701
Kolimba alishasema zamani sana kuwa hawa jamaa wameshapoteza dira
Naomba kuuliza swali moja tu, hivi hii imesomwa na wale wasomi waliopo kwenye pay roll yenu kama akina baregu na Kitilla? hivi hata maana ya falsa nayo mfundishwe?
Hebu fundisha basi, labda tutaelewa kama ccm:juggle:
sasa kazi za akina Kitila huko kwenu ni nini? au kuweka vigezo vya kujaza wabunge wa viti maalum kwenye ukoo wa Mtei?
Lete falsafa za CCM sio za kwako tafadhali. Hapa kama hamna basi kolimba alikuwa wa kweli. Hivi kolimba nae ni ukoo wa mtei:focus:
unapaswa kuwa umekufa au haujawahi kuishi Tanzania ndio uwe hauifahamu Falsa ya CCM, maana hata ukilitaja jina hili kwa kirefu utapata majibu.
Chama cha kijamaa kamawa mstari wa mbele ni wanachama wa Chama Cha Mapinduzi.
CCM ni chombo cha kuongoza mapambano ya ujamaa nchini. Ni kweli kuwa
ujamaa kimsingi ni siasa ya Wakulima na Wafanyakazi na kwamba utajengwa na
wafanyakazi katika umoja wao wa kitabaka. Lakini ni kweli pia kwamba bila ya
wapiganaji ujamaa wa mstari wa mbele, bila kikosi cha askari wa mstari wa
mbele kujenga ujamaa haliwezi kufikiwa. Kikosi hicho cha wapiganiaji ujamaa
Hapa panasomeka kweli:juggle:
Asante kwa kuufungua moyo wako sasa.
Ujamaa ni nini?:lol:
Haya endeleeni kutujuza...ooh no, unataka tuanzie huku mzee?
Una maana hawana kabisa, duh
[/FONT]
Ujamaa ni nini?:lol: Na azimio la Arusha bado lipo, maana nipo mbali na Tanzania.
Azimio la Arusha halikuwa ndio msingi wa falsafa ya chama ila falsa ya chama ndio iliyozaa azimio la arusha, kuwepo au kutokuwepo kwa azimio la arusha hakuwezi kuwa ndio msingi wa kuwepo kwa falsa ya chama. Na kwa kuwa chama kina uhai kama ilivyo kwa jamii mabadiliko yanatokea na kila yanapotokea ni lazima athari zake ziakisiwe katika sera, mipango na maazimio ya chama.
Ahaa in maana kinabadilika, sasa kwa sasa falsafa yake ni ipi. Maana ukisoma miongozo bado inazungunzi azimio la arusha, pale nafiki chama kilikomaa. Na azimio lilikipa chama mboresho wa falsafa.
Kolimba alikuwa anaongelea dira ipi?:lol:
Eeheeee, mambo si ndio hayo bwana!!!! Kwa kweli CHADEMA you uniquely STAND OUT OF THE CROWD of political in Tanzania in many well-thought ways.
Nijuavyo mimi ni kwamba Chama Cha Siasa bila Falsafa inayoongoza mienendo yake yote katika shughuli zake za kila siku si tu kwamba chastahili kusemwa kwamba KIMEKOSA DIRA kama ambavyo Mzee wetu Marehemu Horace Kolimba alivyowahi kutubainishia huko nyuma bali ni kwamba Cha hicho ni sawa tu na abiria aliyefungasha mizigo hadi stendi Ubungo bila hata kujua haswa ni wapi kimeinuiya kwenda ndipo kiweze kukaribisha watu uanachama katika safari ya kwenda huko.
Ni masikitiko yangu makubwa sana hadi najiunga CHADEMA miaka michache iliopita, huko nyuma sikuwa na uhakika kama chama changu cha zamani CCM kilikua kinaendeleza bado falsafa yake ya miaka hiyo ya kuamini katika ujamaa na kujitegemea au siasa hivi falsafa yao huenda ikawa ni ile ya 'Taifa hujengwa na Wenye Moyo, Hutafunwa na Wenye Meno' au tangu azungumze Mzee Kolimba watani zetu bado 'Wato ya maji ya moto na ya baridi kama kawaida yao maika yote?????????????