Karibu tuchangie mawazo mbalimbali kuhusiana na ndoa kwa ujumla, je ni faida gani mtu anapata pindi anapo oa ama kuolewa iwe katika nyanja zote kiuchumi, kiafya, kijamii nk.
Kawaulize wazazi wako wamepata faida/hasara gani baada ya kukuzaa wewe..kamuulize pia baba yako kabla ajamuoa mama yako alipata faida/hasara gani? Na alivyomuoa alipata faida/hasara gani..apo utapata jibu la uhakika
Karibu tuchangie mawazo mbalimbali kuhusiana na ndoa kwa ujumla, je ni faida gani mtu anapata pindi anapo oa ama kuolewa iwe katika nyanja zote kiuchumi, kiafya, kijamii nk.
Karibu tuchangie mawazo mbalimbali kuhusiana na ndoa kwa ujumla, je ni faida gani mtu anapata pindi anapo oa ama kuolewa iwe katika nyanja zote kiuchumi, kiafya, kijamii nk.