sio sahii kusema /kuviita vyuo vya kata kikubwa ni tutoe maoni ni kipi kifanyike ili tuboreshe elimu ktk vyuo ivyo mnavyo viita vya kata kama ni kweli.
sio sahii kusema /kuviita vyuo vya kata kikubwa ni tutoe maoni ni kipi kifanyike ili tuboreshe elimu ktk vyuo ivyo mnavyo viita vya kata kama ni kweli.
vinaitwa vya kata sababu wanafunzi wanakaa chini. vilevile wanafukuzana kuwahi kuingia lecture rooms kama abiria wanavyogombea kupanda daladala. Wengine wanasikiliza lecture huku wamesimama. sasa pana elimu hapo kama sio kuzalisha vilaza
vinaitwa vya kata sababu wanafunzi wanakaa chini. vilevile wanafukuzana kuwahi kuingia lecture rooms kama abiria wanavyogombea kupanda daladala. Wengine wanasikiliza lecture huku wamesimama. sasa pana elimu hapo kama sio kuzalisha vilaza