ccm jamani ni sikio la kufa. bora wahusika wawajibishwe taifa linusurike na kuzuiwa misaada maana sekta zote za huduma zitakwama maana ccm walisha uza nchi marekani. bajeti yetu inategemea wahisani pamoja na rasilimali tulizo nazo. aibu. vp kwa nn tusiwang'oe?