ESCROW imenikosesha gemu ivi ivi

chuma cha reli

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
2,764
Reaction score
2,568
Leo mchumba wangu amekuja kunitembelea,nmekaa nae tokea saa 10 jioni kila nikimgusa ataki eti oh Dia nasikiliza bunge..
Nlikuwa nahamu nae sana since June tuliachana sasa tumerudiana analeta mambo ya Escrow.... Yaani nmefuraha hapa nasubiri kwa hamu liishe duh.
 
basi sawa kumbe watizama bunge na mchumba wako, ahsante kwa kutujuza.
 

Sasa si hamishia TV chumbani halafu umgegede. Umfyeke mpaka asahau kuwa kuna Bunge.
 

Hah hahahha.Baby,kumbe na wewe upo JF.Kwa taarifa yako leo sikupi.
 

umenchekeshaa
 

Hizo ni collateral damage za ESCROW. Hizi siku kadhaa kuna watoto wamezaliwa wanaitwa Escrow!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…