Ninaomba yeyote anayejua dawa za kiasili au za hospital zinazotibu ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume anifahamishe napata tabu sana ...kimoko chali!!!!!
Hivi kupiga "kimoko" ni erectile dysfunction?
Labda useme inahangaika kudinda na ukidinda unapiga hicho "kimoko" within 1 minute na machine haiamki tena hadi wiki!
Ila kama unadinda fresh na unapiga hicho "kimoko" kwa dakika zisizopungua 10, huna tatizo! Wekeza tu kwenye kujijenga kisaikolojia!
Kama siyo mkeo huyo unayeishia kimoko nakushauri badilisha "demu" ujiassess
Tengeneza juice ya mchanganyiko huu. Tende, maziwa, asali, karoti, tikiti na mbegu zake na tangawizi kwa pamoja.... Kunywa mara tatu kwa wiki itakusaidia sana. Utaanza kuona matokeo chanya.
Hivi kupiga "kimoko" ni erectile dysfunction?
Labda useme inahangaika kudinda na ukidinda unapiga hicho "kimoko" within 1 minute na machine haiamki tena hadi wiki!
Ila kama unadinda fresh na unapiga hicho "kimoko" kwa dakika zisizopungua 10, huna tatizo! Wekeza tu kwenye kujijenga kisaikolojia!
Kama siyo mkeo huyo unayeishia kimoko nakushauri badilisha "demu" ujiassess
Tengeneza juice ya mchanganyiko huu. Tende, maziwa, asali, karoti, tikiti na mbegu zake na tangawizi kwa pamoja.... Kunywa mara tatu kwa wiki itakusaidia sana. Utaanza kuona matokeo chanya.
Ninaomba yeyote anayejua dawa za kiasili au za hospital zinazotibu ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume anifahamishe napata tabu sana ...kimoko chali!!!!!
Tengeneza juice ya mchanganyiko huu. Tende, maziwa, asali, karoti, tikiti na mbegu zake na tangawizi kwa pamoja.... Kunywa mara tatu kwa wiki itakusaidia sana. Utaanza kuona matokeo chanya.