Eneo linauzwa haraka, Lipo Kinzudi Goba,
Ukubwa- 9,276 square metres,
Kimepimwa,
Kuna nyumba kubwa ambayo haikumalizika yenye umeme na Kisima cha maji ya chumvi,
Bei yake kila kitu ni Tsh 850,000,000/=mazungumzo yapo,
Kwa atakaehitaji wasiliana na namba hizi 0713934683 au 0758585864