Hawa jamaa ni wababaishaji sana,nimejaribu mara nyingi ,lakini napelekwa kufanya usaili kwa kazi ambayo sio yangu mie mhasibu naenda kuwa karani for Invoicing ,kweli sikutendewa haki ingawa nilifanya kazi hiyo kwa muda then nikatafuta kazi sehemu nyingine.kwahio radar muwe makini sana.