Elimu ya ufugaji wa bata mzinga

Naomba mwenye utaalamu wa ufugaji wa bata mzinga anipe elimu. Nataka kufuga kibiashara
Ni wazuri ila wanagarama sana kimatibabu ni kama mtoto mchanga maana yanaugua ugua ovyo na kuvimba vichwa kama hauna uzoefu au kuwa makini na chanjo kwa kweli unaweza pata hasara sana kwa kubeba yalokufa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…