Ni wazuri ila wanagarama sana kimatibabu ni kama mtoto mchanga maana yanaugua ugua ovyo na kuvimba vichwa kama hauna uzoefu au kuwa makini na chanjo kwa kweli unaweza pata hasara sana kwa kubeba yalokufa
Ni wazuri ila wanagarama sana kimatibabu ni kama mtoto mchanga maana yanaugua ugua ovyo na kuvimba vichwa kama hauna uzoefu au kuwa makini na chanjo kwa kweli unaweza pata hasara sana kwa kubeba yalokufa