Egypt ni nchi ya kiislam,
Ila kuna diferrent factions depending on thier extremism.
Morsy anatoka kundi la muslim brotherhood, extremists, for years wamekuwa oppressed na serikali ya Mubarak kuja kuresurface baada ya Mubarak kuondolewa.
Majority of egyptians are moderate Muslims ndo mana hata waarabu kutoka Saudia na kwingineko ambako msimamo ni mkali wnakuja kula maisha Cairo.
na hawakumuunga mkono Morsy especially after November alivopitisha several declarations pinned in the Brotherhood angle.
So this is one of the reason, of coz ukiweka na economy, umeme na maji cuts ambapo wakati wa Mubarak wamisri walikuwa hawajui mgao.