Uchaguzi umekwisha, Magufuli ameshinda kihalali na kila mtu moyoni anajua hivyo na pengine anafanya makubwa kuliko ambayo huenda Lowassa angeyafanya. Nikuombe tu heshima kwa Mzee maana Mungu anakuona na hujafa hujaumbika.
Kuuliza Si Ujinga Mkuu au? Nimeiona KUFULI Hapo Nyuma Yake Imening'inizwa Sasa Mimi Kuuliza Tu Kuwa Labda Katoka Nayo CHOONI Na Pengine Kasahau Kuirudishia Pale Mlangoni Na Kufunga Ni KOSA?
Kuuliza Si Ujinga Mkuu au? Nimeiona KUFULI Hapo Nyuma Yake Imening'inizwa Sasa Mimi Kuuliza Tu Kuwa Labda Katoka Nayo CHOONI Na Pengine Kasahau Kuirudishia Pale Mlangoni Na Kufunga Ni KOSA?