Edward Lowassa Mtu wa Watu!!!

Hiki chuo cha kuzalisha makada wa chama pale kigamboni kiliweza kutoa watu bora sana katika siasa, mmoja WAPO ni Bwana Ngoyai. Anautilivu wa kiakili na kisiasa! Akipiga hatua au kesema jambo lazima liwe na kishindo!

Lakini pia chuo hiki kilitoa vilaza haswa kama nanihii na nanihiii!
 
Yani hilo jizi na fisadi eti mtu wa watu? ni upumbavuuuui huo. labda ni mtu wa watu wa congo mbirikimo
 
Message hioo
 

Attachments

  • 1450979797130.jpg
    52.1 KB · Views: 439
Jiwe walilokataa waasi nimemmisi sana
 
Wakuu huyo aliyeko na mzee wetu EL ni kangi lugola au? !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…