Duniani magonjwa mengi sana

andazi

Member
Joined
Jun 7, 2025
Posts
54
Reaction score
233
Ni kweli kifo kinaogopwa dah leo baada ya kupata dalili fulani nikaona isiwe kesi acha nizunguke kwenye youtube nikapate uahauri kidogo wa video za madocta wa youtube

Nilichokutana nacho hakika nimepona πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„

Watu wanaumwa katika dunia hii kuna magonjwa mengine hayana hata majina unakuta mtu ana comment dalili zake za ugonjwa unao msibu kuliko kumuonea huruma unajikuta unacheka πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„ hee Mungu tusaidie
 
"Dont google your symptoms " kuna kibao kitafute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…