Naona kama hajiamini amini, kikubwa ninachokiona hpo ni kwamba hakuna mzunguko mzr wa wateja na ndio maana anatumia mda mwingi kulala dukani, pia ukiangalia hvyo vitu kuna ambavyo vipo kama vilivyonunuliwa yaan hakiuzwa ata kimoja. So kwa atakaenunua ni vyema akafanya research ya kutosha ikiwezekana ata kushinda maeneo yale ata kwa siku kadhaa kuusoma mchezo kimya kimya bila jamaa kujua.