Namba ya Rais kuipata si kazi nyepesi ila ya waziri mkuu unaweza kuipata kwenye orodha ya wabunge na namba zao za simu.ila labda nikupe namba za watu wa karibu sana na hao watu ambao pia wanaweza au wasiweze kukuunganisha na unayemuhitaji labda wakufikishie ujumbe kwake. Ila ujumbe hautakuwa kama ule ambao ungeutoa mwenyewe. unahitaji ni pm