kweli mara ya mwisho magazeti ya tz yalionesha kuwa yule mtuhumiwa wa utekaji,utesaji , na usafirishaji wa Dr Ulimboka kwenda msitu wa mauaji wa Pande,aligoma kula na kwenda mahakamani na ubalozi wa Kenyia ukadaiwa kuingilia kati.
Igizo hili sasa linatatanisha maana mhusika mkuu wa igizo yaani Dr ULIMBOKA hatujui alikokwenda maana press ilimsikiliza Kicheere,Learned ADVOCATE,akizungumza badili yake,Mahakama ikiwa haijamtumia kama shahidi wa Jamhuri,Gazeti lililomtaja mhusika siyo mtuhumiwa wqa utekaji,utesaji na utupwaji wa Dr ULI ,MWANAHALISI na Saed Kubenea vikiwa kifungoni.Neno moja lingetosha yaani kisa chote ni SINTOFAHAMU.
Kwa kuwa sisi tumefananishwa na mnyama pori mmoja (anayefanana katika specie na mwingine ambaye nyama yake ni veri palatable,but declared KHARAMU na TOURATI plus HOLY KORAN)kwa kuwa na kumbukumbu ndogo na usahaulifu mkubwa(partly kwa sababu maisha ni magumu hivyo sehemu kubwa ya wakati tunasaka tonge left and right) tumeachwa ROUND ABOUT!
Dawa ya hili tatizo la kugeuzwa ngiri ni KUGANGAMALA na ISSUE to its whatever conclusion!