unajua bw, ka swali la kizushi vile, ila ni kwamba vyama vingine vya upinzaini vimepoa sana, kama wanasapot ccccccm vile, kwa mfano jana, Mr. ssseeef kule zenji was so happy shein alvoshinda and give hm a lot of comliments....wakati alikua anawaponda sana, au ni koz ana uhakika wa nafasi? au kipindi kile mrema anawamwagia ccm sifa kedede.....etc