dactari alikuwa anamuandaa mgonjwa,ili amng'oe jino,hivyo akawa anajaribu kumpa story za hapa na pale kama kumtoa wasiwasi
daktari''unajua jinsi groves zinavyotengenezwa?''
mgonjwa''hapana''
dactari''huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vya saiz mbalimbali,wanapakwa materia ya raba iliyo kama ujiuji,kisha wanawekwa juani,ikikauka wanavulishwa,then tayari unapata grooves''
mgonjwa''kwi kwi kwi,tehe tehe tehe aha ha haaaaaaaaaaaa''
dactari''unacheka nini?''
mgonjwa''nafikiria condoms zinavyotengenezwa''
dactari alikuwa anamuandaa mgonjwa,ili amng'oe jino,hivyo akawa anajaribu kumpa story za hapa na pale kama kumtoa wasiwasi
daktari''unajua jinsi groves zinavyotengenezwa?''
mgonjwa''hapana''
dactari''huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vya saiz mbalimbali,wanapakwa materia ya raba iliyo kama ujiuji,kisha wanawekwa juani,ikikauka wanavulishwa,then tayari unapata grooves''
mgonjwa''kwi kwi kwi,tehe tehe tehe aha ha haaaaaaaaaaaa''
dactari''unacheka nini?''
mgonjwa''nafikiria condoms zinavyotengenezwa''
<br />Ahahaha.. imetulia
hahahaha lilingolewa lengo lilikuwa kumtoa hofu mgonjwa kabla hajangolewa bila ganzi!Jino liling'olewa au stori ziliendelea hadi muda wa kazi ukaisha?
hahahahahahahaha! Uwe na j2 njema cz u made my day!