Kuna watu wanajibu as if Hao ni nacte au tcu, cjui ni kutupa moyo au kuturizisha nafikir katika swala la nacte na tcu tuwe siriaz hatutak utan kwenye hilo mana tunasota kwenye mitandao huku toka asubh kila kukicha anayejua ukweli atujulishe na c kupeana moyo wakat taarifa haina ukweli