T thomaskitomari JF-Expert Member Joined Jul 20, 2016 Posts 472 Reaction score 204 Sep 29, 2016 #1 Habari wakuu Chuo cha maji kimetoa majina ya diploma holder na form 6 kwa pamoja first batch, hvyo tusubri kidogo na tuamin kwamba hatujatengwa Asanteni
Habari wakuu Chuo cha maji kimetoa majina ya diploma holder na form 6 kwa pamoja first batch, hvyo tusubri kidogo na tuamin kwamba hatujatengwa Asanteni
VICTOR BASHINGWA Member Joined Sep 24, 2016 Posts 16 Reaction score 8 Sep 29, 2016 #2 NACTE wao wako wapi?na wana mpango gani juu ya selection?
In christ alone Member Joined Jul 2, 2016 Posts 51 Reaction score 33 Sep 29, 2016 #3 Kwan hao waliopata nafasi waliapply direct chuon, au walipitia nacte
T thomaskitomari JF-Expert Member Joined Jul 20, 2016 Posts 472 Reaction score 204 Sep 29, 2016 Thread starter #4 VICTOR BASHINGWA said: NACTE wao wako wapi?na wana mpango gani juu ya selection? Click to expand... Mkuu bora tusubiri majina kutoka vyuon tuu chuo kikitoa jina lako hapo inamaanisha nacte wamekupa baraka tele
VICTOR BASHINGWA said: NACTE wao wako wapi?na wana mpango gani juu ya selection? Click to expand... Mkuu bora tusubiri majina kutoka vyuon tuu chuo kikitoa jina lako hapo inamaanisha nacte wamekupa baraka tele
M mashishanga JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 611 Reaction score 429 Sep 29, 2016 #5 Duu Hao diploma holder waje bas huku watupe moyo na cye kua waliomba huo mwez wa Tatu au inakuwaje
T thomaskitomari JF-Expert Member Joined Jul 20, 2016 Posts 472 Reaction score 204 Sep 29, 2016 Thread starter #6 In christ alone said: Kwan hao waliopata nafasi waliapply direct chuon, au walipitia nacte Click to expand... Lazima walipitia nacte ndugu
In christ alone said: Kwan hao waliopata nafasi waliapply direct chuon, au walipitia nacte Click to expand... Lazima walipitia nacte ndugu
Mwanamaji JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 2,906 Reaction score 4,525 Sep 29, 2016 #7 Basi Morolo
babumapunda JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,644 Reaction score 3,314 Sep 30, 2016 #8 Kuweni na imani,,,mambo yatakuwa mazuri muda si mrefu