Namjua baba yake na mama yake.....tangia wanaishi kkoo!!!!
We kama umewaona kwenye magazet shaur yako,alafu bwana ako akiambiwa ukweli we kiroho kinakuuma.
Njengo yake inakutosha wewe sisi wengine tunaona hilo gar ni promo kama ilivyo promo nyingine tu.
Baba yake kachoka vibaya mno yupo pale kagera mikoroshini.......,amuhudumie pia ndo uungwana na sio sifa za magazetini!!!