Daktari na Mgonjwa

Werrason

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
13,225
Reaction score
39,940
Daktari alikuwa anamuandaa Mgonjwa ili amng'oe jino, hivyo akawa anajaribu kumpa stori za hapa na pale kama kumtoa wasiwasi.
Daktari: unajua jinsi “gloves” zinavyotengenezwa?
Mgonjwa:Hapana.
Daktari: Huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vyenye saizi mbalimbali, wanapakwa vitu vya aina ya mpira iliyo kama ujiuji kisha wanawekwa juani, ikikauka wanavuliwa tayari unapata “gloves”
Mgonjwa: kwi kwi kwi teh teh teh ahahahaaa
Daktari: unacheka nini?
Mgonjwa: nafikiria CONDOM zinavyotengenezwa!!!
 
Mmmh!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…