Wateja wote wa CRDB waliofanya transfer kwa kutumia simbanking siku ya Juma pili 17.11.2019 hela yao zimezuiliwa. Kila wakipigiwa simu wanasema subiri. Hawajui extent ya usumbufu waliowasababishia wateja. usumbufu wa aina hii katika hii benki umekuwa kawaida. Kungekuwepo regulatory authority ya bank, hawa jamaa wangechukuliwa hatua