Continental decoder jamani kunani..!!!!!!

Maganga Mkweli

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2009
Posts
2,089
Reaction score
829
ndugu zangu ni mimi tu napata hii kero ya hii decoder au kuna wengine mnapata taabu kama yangu maana mie hii siku ya pili sioni chochote .. hii nchi mbona longolongo nyingi
 
yaan sio ww peke yako,wananiboa sana nimewapigia simu eti wanasema wana update software, sasa software siku tatu kweli hamna matangazo, bora turudi analog,hatujajipanga huku,tumevamia tu
 
Acha kulalamika timkia Zuku tujidai tatizo mnapenda package ja ndezo!
 
yaan sio ww peke yako,wananiboa sana nimewapigia simu eti wanasema wana update software, sasa software siku tatu kweli hamna matangazo, bora turudi analog,hatujajipanga huku,tumevamia tu
Komaa mtanganyika ndo sababu wakawawekea package za bure mwenzio na Zuku 2 tehe,tehe,tehe,tehe.
 
ndugu zangu ni mimi tu napata hii kero ya hii decoder au kuna wengine mnapata taabu kama yangu maana mie hii siku ya pili sioni chochote .. hii nchi mbona longolongo nyingi

Jamani Kingamuzi ndio kinakufa hicho, hii mara ya pili kingamuzi kinakata mawasiliano.
Wametangaza kwamba Eti wanahama toka mfumo wa Mkonga kwenda satellite, kwa hiyo muwe na subira, na hata hawasemi zoezi litachukua muda gani. Mbona DSTV na Azam wana Update softwares na hatujawahi sikia matangazo yanakataa?

hamia ZUKU au AZAM TV
 

hawa jamaa ni majanga kabisa si shauri mnunue hiki king'amuzi
 
Ahadi kibao za kuongeza channel, kumbe Hamna kitu. Wajipange, azam wamekuja juzi tu na channel 50 na zinaongezeka kila wiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…