IROKOS JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 10,182 Reaction score 7,844 Oct 20, 2016 #21 GreenCity said: 20ft tunauza kwa 3mil, kama upo tayari! Click to expand... Hujanielewa mkuu, nimesema hata mimi nina container la futi 20 naliuza...
GreenCity said: 20ft tunauza kwa 3mil, kama upo tayari! Click to expand... Hujanielewa mkuu, nimesema hata mimi nina container la futi 20 naliuza...
M masakafyuku Member Joined Jan 13, 2013 Posts 25 Reaction score 2 Oct 20, 2016 Thread starter #22 mejakery said: Bei gani la ft 20 Click to expand... dola 1500 la 20ft
M masakafyuku Member Joined Jan 13, 2013 Posts 25 Reaction score 2 Oct 20, 2016 Thread starter #23 Jenseny said: hili 20 ft ni sh ngap!? Click to expand... $1500 mkuu
Kituko JF-Expert Member Joined Jan 12, 2009 Posts 9,555 Reaction score 9,368 Oct 20, 2016 #24 GreenCity said: 10 million 20ft, no way! Mkuu sikuvunji moyo, lakini kwa bei hiyo mimi napata 20ft tatu! Review your price, tafadhali! Click to expand... Bei ziko juu sana hizo, ukifika kwenye makampuni ya shipping kama Maesky nk hilo la 20ft liko kwenye laki tano kushuka chini pamoja na doc zote
GreenCity said: 10 million 20ft, no way! Mkuu sikuvunji moyo, lakini kwa bei hiyo mimi napata 20ft tatu! Review your price, tafadhali! Click to expand... Bei ziko juu sana hizo, ukifika kwenye makampuni ya shipping kama Maesky nk hilo la 20ft liko kwenye laki tano kushuka chini pamoja na doc zote