Chumba na sebule vinapangishwa

delako

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
3,043
Reaction score
2,134
Habari wanajf,
Rejea kichwa cha habari hapo juu,kuna chumba kimoja ambacho ni master,sebule na jiko vinapangishwa kwa bei ya tsh laki moja na elfu arobaini(140,000/=).Hipo tabata kimanga kituo jiandae dk 3 kutoka hapo stand,meter ya luku inajitegemea,ina tiles,gypsum lakini haipo ndani ya fence,kuna bomba la dawasco . 0756 587175.karibuni
 
Kama una nyumba ya vyumba viwili yenye, sebule, choo na jiko kwa 150,000 pls nijulishe maeneo ya tabata yoyote
 
**** una ya vyumba viwil na sebule maeneo ya tegeta njoo pm
 
plz weka picha ya hiyo nyumba nichek kwanza, plz weka picha
 
Asante kwa kumfahamisha japo kashatoa hukumu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…