Habari wana JF kwa muhitaji wa chumba kimoja cha kuishi maeneo ya Mabibo anaweza kuwasiliana nami kwa namba 0672087564/0693785860.
Bei ya chumba ni 50,000 kwa mwezi na inatakiwa kulipwa kodi ya miezi sita, chumba kipo jirani na chuo Cha usafirishaji NIT.