Kama una nyumba yako upo sahihi lakini Kama huna nyumba basi utakuwa na matatizo kwenye akili aliehama hicho chumb ameishi kwa miaka kumi mpaka kahamia kwake, jiheshimu brother Kama kitu upendezwi wewe basi usiwapotoshe wengine halafu isitoshe hiyo picha ujafika maeneo husika kuangalia,min sio mhuni mwenzio was kupoteza mud mitandaoni naheshima zangu,tuheshimiane kaka samahni Kama nitakuwa nimekukwza kwa kukupa maelezo hayo marefu.asubuhi njema